Wednesday 23 November 2016

MATUKIO KATIKA PICHA: H/W SERENGETI WAANDAA MPANGO MKAKATI WA MIAKA MITANO.

Waheshimiwa Madiwani, Wadau wa Maendeleo pamoja na Wataalamu kutoka taasisi za Serikali Wilayani Serengeti waupitia mpango mkakati wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti utakaomudu kwa miaka mitano kuanzia mwaka wa bajeti 2016/17 mpaka 2020/21. “Bila mpango mkakati huu hakuna maendeleo” amesema Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Mheshimiwa Nurdin Babu alipokuwa akifungua kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri tarehe 22 Novemba 2016.














No comments:

Post a Comment